Mshambuliaji wa Timu ya Singida Big Star akiwapita mabeki wa Timu ya Azam wakati wa mchezo wao wa Nusu Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliochezwa jana usiku 8-1-2023, na kuipatia Timu yake ya Singida mabao 4 yote ameyafunga yeye katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu ya Singida Big Star imeshinda bao 4-1
WADAIWA KODI YA ARDHI KIKAAONGONI
-
Waziri Akwilapo Ataka Kukamilisha malipo ifikapo Desemba 31, 2025
Aagiza Vituo vya Makusanyo ya Kodi kutoa huduma bora
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ...
3 hours ago
0 Comments