RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiwasalimia Wananchi wa mitaa ya muembemimba akiwa katika Matembezi ya Kuhamasisha
Upimaji wa Moyo “Tembea na JKCI Linda Afya ya Moyo Wako” na Kufunga Kambi ya
Upimaji wa Moyo iliyofanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja Unguja Jijini
Zanzibar kuazia 23 - 27, Januari 2023, matembezi hayo yaliyoazia katika viwanja
vya Maisra Suleiman na kumalizikia katika Uwanja wa Amaan Unguja leo 28-1-2023,
na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI.Dkt.Peter Kisenge.
SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA SALAMA KWA WENYE VIWANDA NCHINI
-
*Serikali kuendelea kuweka mazingira salama kwa wenye Viwanda vinavyofanya
kazi na kutatua changamoto kwa wakati ili kuendelea kulinda ajira za
Watanz...
30 minutes ago
0 Comments