Wachezaji wa Timu ya Mlandege wakiwa na Kombe la Ubingwa Mapinduzi Cup 2023 baada kukabidhiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa bao 2-1, katika mchezo wa Fainali uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
JK AENDELEA KUWA KINARA WA ELIMU DUNIANI
-
Rais Mstaafu Jakaya Dkt. Mrisho Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi
ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global
Partner...
1 hour ago
0 Comments