Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezi Tabia Maulid Mwita akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mashine na Mitambo KMKM (C,D,R)Kamanda Haji Mohamed Abuu kuhusiana na Ujenzi wa Ofisi na Hanga la Maaskari wa KMKM katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la msingi Jengo hilo Kibwengo Kaskazini Unguja Ikiwa ni Shamra Shamra za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
VODACOM YAENDELEA KUSAMBAZA UPENDO MBARALI MKOANI MBEYA,YAKABIDHI KAPU
KAMPENI YA 'TUPO NAWE TENA NA TENA'
-
Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania Plc wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya
Happyness Lyimo ( wa pili kulia) pamoka na afisa wa kampuni hiyo Wema
Mpwanga ( kulia)...
9 hours ago
0 Comments