Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango kuashoroa kuzindua Mradi wa Kijana Nahodha inaofadhiliwa na USAID ya Marekani, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja jana 22-2-2023.
MWILI WA MWANAMKE WAPATIKANA UMEFUKIWA NDANI YA NYUMBA YA RAFIKI YAKE KILOSA
-
FARIDA MANGUBE, KILOSA, MOROGORO
HOFU na simanzi vimetanda katika Kijiji cha Changarawe wilayani Kilosa
mkoani Morogoro baada ya mwili wa mwanamke ali...
5 hours ago
1 Comments
Nimtuma maombi ya kijana nahodha lakini sijapata majibu Hadi leo
ReplyDelete