Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango kuashoroa kuzindua Mradi wa Kijana Nahodha inaofadhiliwa na USAID ya Marekani, uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya mpira Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja jana 22-2-2023.
RC BABU AWATAKA WAGENI KUILINDA AMANI YA KILIMANJARO.
-
MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka wageni wote wanaowasili
mkoani humo kwa ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka mpya kuhakikisha
wanailin...
42 minutes ago
1 Comments
Nimtuma maombi ya kijana nahodha lakini sijapata majibu Hadi leo
ReplyDelete