Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Mahakama ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambayo ilikuwa ikiendesha shughuli zake katika jengo la Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) Jijini Arusha. Wengine pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi AICC, Balozi Daniel Ole Njolay na kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Bw. Ephraim Mafuru
SERIKALI, KOFIH KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI MAGONJWA YA MLIPUKO
-
Na Clement Robert, WAF – Dar es Salaam
Wizara ya afya kupitia maabara ya taifa ngazi ya jamii imefanya mapitio ya
mradi wa kazi za mwaka wa tatu na shiri...
35 minutes ago
0 Comments