Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Mahakama ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambayo ilikuwa ikiendesha shughuli zake katika jengo la Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) Jijini Arusha. Wengine pichani ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi AICC, Balozi Daniel Ole Njolay na kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Bw. Ephraim Mafuru
CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP
-
*Na John Bukuku – Dar es Salaam*
*Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu
wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa W...
1 hour ago
0 Comments