Mchezaji wa Timu ya Zimamoto akijiandaa kumiliki mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar"PBZ Premier League 2023/2024, mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar wiki iliyopita. Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
Kampuni Ya Airtel Tanzania Imewataka Wanavyuo Nchini Kutumia Fursa ya
Kimtandao
-
KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya
kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni.
Hayo yam...
27 minutes ago






0 Comments