Wachezaji wa Timu ya Kundema na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya Kundemba imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.Dhidi ya Timu ya Mafunzo.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
2 hours ago















0 Comments