Wazee wakiwa katika vazi rasmini la Utamaduni wa Zanzibar Baibui la Ukaya na Kanga za Kisutu wakisuka ukiwa wakati wa Ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa maonesho mbalimbali.
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
6 hours ago
0 Comments