Wazee wakiwa katika vazi rasmini la Utamaduni wa Zanzibar Baibui la Ukaya na Kanga za Kisutu wakisuka ukiwa wakati wa Ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa maonesho mbalimbali.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
8 hours ago
0 Comments