Mchezaji wa Timu ya Zimamoto Mudathir Nassor na Mlandege Mohammed Ali wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar "PBZ Premier League 2023/2024" mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
TGNP YAWAKUTANISHA VIJANA WENYE ULEMAVU KUJADILI FURSA NA CHANGAMOTO
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), kwa kushirikiana na taasisi ya
Sightsavers na YOWDO, umeandaa jukwaa maalumu la vijan...
15 minutes ago













0 Comments