Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania (NIC ) Kanda ya Zanzibar Ndg. Khamis Msami akimkabidhi zawadi ya fedha tasilim mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup kutoka Timu ya Singida FG. Chukwu Moris kwa kuibuka mshindi wa mchezo huo na Timu ya APR FC,mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Singida FG imeshinda mchezo huo kwa bao 3-1.
WAJA ATOA SADAKA KWA MISIKITI 65 GEITA MJINI
-
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, ametoa tende kwa misikiti
65 iliyopo katika jimbo lake ikiwa ni sadaka kwa waumini wa dini ya
Kiislamu wana...
14 minutes ago


0 Comments