Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Watoto mbalimbali baada ya kuwasalimia katika mtaa wa mwembemakumbi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 26-1-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Twauba Mwembemakumbi.
FURAHA YATANDA KWA KINAMAMA WA JAI BAADA YA RAMADHANI CHARITY PROGRAM KUTOA
IFTAR
-
Furaha imetanda kwa kinamama wa taasisi ya JAI baada ya kupokea sadaka ya
Iftar kutoka kwa taasisi ya Ramadhani Charity Program 2026, ikiwa ni sehemu
ya ...
18 minutes ago
0 Comments