Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, akisaini Kitabu cha maombolezo cha msiba wa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu,Hayati Edward Lowassa, katika Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma leo Februari 12, 2024.*
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
4 hours ago

0 Comments