Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza kikao cha ndani kuhusu Mradi wa Liganga na Mchuchuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma leo , Juni 10, 2024. Kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Waziri wa Madini, Waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Waziri wa Fedha, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, baadhi ya Makatibu Wakuu na watalaamu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA
MGODI WA BARRICK NORTH MARA
-
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu
inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa
mgodi wa Bar...
1 hour ago
0 Comments