Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Bakar akishudia Mkazi wa Mtaa wa Karyambwa Wilayani Muleba Mkoani Kagera, Bw. Vedastus Manya Nsinde akiboresha taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika kituo cha Shule ya Msingi Rubungo wakati zoezi la uboreshaji wa Daftari ulioanza jana Agosti 5,2024 Mkoani Kagera. Mikoa ya Kagera na Geita imeanza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na litaendelea hadi Agosti 11, 2024.(Picha na INEC).
DIWANI KATA YA PANGANI KUCHELE AKOSHWA NA KASI YA KAZI KWA DED MANISPAA YA
KIBAHA
-
NA VICTOR MASANGU, KIBAHA
Diwani mpya wa Kata ya Pangani kupitia tiketi ya chama chamapinduzi (CCM)
Mhe. John Katere amesesema kwamba lengo lake kubwa ni...
11 minutes ago
0 Comments