MUONEKANO wa Majengo ya Mradi wa Hoteli ya SSPD –Buhairan –Plan Hotel SA,
inayojengwa Bwejuu Mkoa wa Kusini Unguja, iliyowekwa Jiwe la Msingi la ujenzi
wake na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi leo 6-1-2025, ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 61 ya
Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
UBORESHAJI WA HUDUMA ZA WATEJA: MBUNGE BAGAMOYO AKABIDHI MAGARI KWA TANESCO
-
Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, Mhe. Subira Mgalu leo Machi 03, 2026
amekabidhi magari mapya kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Wilaya ya
Bagamoyo mko...
1 hour ago



















0 Comments