Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Dola za Marekani 6000, Mohammed Yacine kutoka Algeria (kushoto kwake ) ambaye alikuwa mshindi wa kwanza wa kilele cha Tuzo za 33 za Kimataifa za kuhifadhi Qurani Tukufu kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam, Februari 23, 2025. Kushoto ni Sheikh Mkuu na Mufti wa tanzania, Dkt Abubakar Zubeir Ally. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
SERIKALI YADHAMIRIA KULETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA SEKTA YA KILIMO
KUPUNGUZA UMASKINI:SILINDE.
-
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe David Silinde amesema kuwa Serikali imeweka
dhamira ya kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo ili kupunguza umaskini
na kuon...
1 hour ago
0 Comments