Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 09, 2025 ameongoza Kikao cha Kamati ya Kitaifa ya Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Hayati Cleopa David Msuya kilichofanyika katika Ofisi ya ndogo za Waziri Mkuu, Magogoni Jijini Dar es Salaam.
Uchukuzi : Naibu Waziri David Kihenzile Ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa
Masuala ya Uchukuzi Nchini Afrika Kusini
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa
wa masuala ya Uchukuzi (NCT), mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa
Gallagher E...
2 hours ago
0 Comments