Balozi wa Tanzania Nchini Msumbiji Mhe. Balozi CP Hamad Khamis Hamad alikutana na Mshauri wa Rais wa Msumbiji katika Masuala ya Uchumi na Maendeleo, Dkt. Mateus Magala na kuzungumza naye masuala mbalimbali ya ushirikiano katika Sekta ya Uchumi baina ya Tanzania na Msumbiji.
Benki ya CRDBB Yatwaa Tuzo ya Mshindi wa Jumla kwa Uwasilishaji Bora wa
Taarifa za Fedha Tuzo za NBAA
-
Dar es Salaam, Tanzania — Benki ya CRDB imethibitisha kwa mara nyingine
tena uongozi na ubora wake katika utayarishaji wa taarifa za fedha baada ya
kutunu...
50 minutes ago


0 Comments