Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo da Vinci Jijini Roma nchini Italia leo tarehe 19 Juni 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Ubia wa Maendeleo kati ya Afrika na Serikali ya Italia (Mattei Plan) utakaofanyika tarehe 20 Juni 2025.
Samsung A26 Leo Alhamisi kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#
-
BILA Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha
kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Alhamisi ya Zawadi ipo kwaajili
yako siku y...
1 hour ago

.jpg)


0 Comments