Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Gombo Samandito Gombo. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Husna Mohamed Abdalla (kushoto) alichukua fomu hizo Agosti 13, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).
Masoko ya Madini Tanzania: Uwazi, Fursa na Utajiri
-
Na Wizara ya Madini
Kabla ya mwaka 2019, biashara ya madini ya dhahabu na vito nchini Tanzania,
hususan kwa wachimbaji wadogo na wafanyabiashara, ilifanyik...
14 minutes ago
0 Comments