Mgombea wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiomba Dua pamoja na Wasaidizi wake Ikulu Jijini Dar es Salaam kabla ya kuelekea katika uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha hicho tarehe 28 Agosti 2025.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
5 hours ago


0 Comments