Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Mlowa waliopo kwenye Jimbo la Mvumi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Dodoma tarehe 07 Septemba, 2025.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AWASHAURI VIONGOZI KUJENGA UTAMADUNI WA
KUWASAIDIA WANANCHI
-
Mwakilishi wa Jimbo la Kiwani ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewashauri viongozi kujenga utamaduni
wa kuwas...
27 minutes ago


.jpeg)







0 Comments