Wagombea Uwakilishi kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi ya Wilaya ya Mjini Unguja, wakimsikiliza Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wakati akitowa maelezo kabla ya kuwakabidhi Fomu za Uteuzi wa Kongombea Uwakilishi katika Majimbo yao (kutoka kulia) Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kikwajuni Mhe. Seif Kombo Pandu, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Mapindi Mhe.Abdulhan Ismail Zuberi, Mgombea Uwakilishi Jimbo la Kwahani Mhe. Mohammed Sijaamini Mohammed na Mgombea Uwakilshi Jimbo la Jangombe Mhe. Ali Gulam.
DKT. MUYUNGI ATETA NA UJUMBE KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA ULIOPO TANZANIA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao chake na wawakilishi wa Ubalozi wa
Uingereza nchini Ta...
7 hours ago








0 Comments