Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Addis nchini Ethiopia. Tarehe 08 Septemba 2025.
DKT. MUYUNGI ATETA NA UJUMBE KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA ULIOPO TANZANIA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao chake na wawakilishi wa Ubalozi wa
Uingereza nchini Ta...
5 hours ago


0 Comments