Mshambuliaji wa Timu ya JKU akimpita beki wa Timu ya Muembemakumbi City wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Priemer League mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung. leo 13-10-2025,Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
8 hours ago












0 Comments