Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dkt Jakaya Kikwete akimtambulisha Mgombea Ubunge wa Jimbo la Wekezo Zanzibar wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Asma Ali Hassan Mwinyi wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika katika viwanja vya Hawaii Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja leo 12-10-2025, na kuwaombea Kura Wagombea Wote wa CCM.
KAMATI YA BUNGE YAAGIZA UDHIBITI WA USAHIHI WA VIPIMO UONGEZEWE NGUVU
-
*Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza
Wakala wa Vipimo (WMA) kuongeza nguvu katika kudhibiti usahihi wa vipimo
ili...
5 hours ago




















0 Comments