6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar Kati ya Timu ya KVZ na Muembemakumbi Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Mchezo Huo Umeshindwa Kumalizika Timu ya KVZ Ikiwa Imeshinda Bao 2-0

Wachezaji wa Timu ya Muembemakumbi na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar, mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung.Timu ya KVZ ikiongoza mchezo huo kwa bao 2-0 uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung mchezo huo haukumalizika kutokana fujo iliyotokea kwa wapenzi wa Timu ya Muembemakumbi  kuingia uwanjani 












 

Post a Comment

0 Comments