6/recent/ticker-posts

Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar Mchezo Katika Malindi na KMKM Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu Hizo Zimetoka Sare ya 0-0

Kocha Mkuu wa Timu ya Malindi Mohamed Salah (Richcard)  akiwa makini kufuatilia mchezo wa timu yake wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung,katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana 0-0. 











 

Post a Comment

0 Comments