Mchezaji wa Timu ya Mlandege Aimar Hafidh Abuba akiipatia Timu yake bao la pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya PBZ 2025.2026 mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 3-0.
Wananchi Wahimizwa Kujiunga na Hifadhi Skimu
-
Na: OWM (KAM) - Mwanza
Serikali imehimiza wananchi kujiunga katika na Hifadhi Skimu ili
kujihakikishia usalama wa maisha yao ya sasa na baadaye ikiwemo ku...
-
*WAZIRI KOMBO AKUTANA NA BALOZI WA JAMHURI YA ZIMBABWE, HELEN BAWANGE
DINGANI*
*Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
M...
0 Comments