Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya uapisho wa Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.
RC Sendiga Aitaka Jamii Kulinda Haki za Wasichana na Wanawake, Manyara
-
*Na Ruth Kyelula, Manyara*
*Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kimkoa
tarehe 8 Machi 2026 katika Wilaya ya Simanjiro, huku M...
19 minutes ago

0 Comments