Mchezaji wa Timu ya African Magic Y. Abdi akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Kwerekwe Yankees A.Adil, wakati wa mchezo wao wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja mchezo uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya African Magic imeshinda mchezo huo kwa Vikapi 75-49.
MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
-
Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji
Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests
Forum-MIF 2026)...
35 minutes ago















0 Comments