Mchezaji wa Timu ya Mlandege akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Chipukizi akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, Timu ya Chipikizi imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0. 
GoldBod Yabadili Sekta ya Dhahabu Ghana, Tanzania Yapata Mafunzo Muhimu ya
Mageuzi katika Sekta ya Madini Afrika
-
Accra, Ghana
Tume ya Madini Tanzania imefanya ziara ya kikazi kwa Bodi ya Dhahabu ya
Ghana (Ghana Gold Board – GoldBod) jijini Accra, ikiwa na lengo la
...
41 minutes ago







0 Comments