Mchezaji wa Timu ya Mlandege akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Chipukizi akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Zanzibar 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, Timu ya Chipikizi imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0. 
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
3 hours ago







0 Comments