6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Ligi ya Mpira wa Kikapu Kanda ya Unguja Kati ya Stone Town na Polisi Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Stone Town Imeshinda Mchezo Huo Kwa Vikapu 70-53

MCHEZAJI wa Timu ya Stone Town Said Masoud akimiliki mpira huku mchezaji wa Timu ya Polisi Ali (kushoto) akijiandaa kumzuiya, wakati wa mchezo wa mpira wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.Timu ya Stone Town imeshinda mchezo huo kwa vikapu 70-53.
MCHEZAJI wa Timu ya Stone Town Shaweji akiwa na mpira akijianda kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi Elisha, wakati wa mchezo wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu ya Stone Town imeshinda mchezo huo kwa vikapu 70-53
MCHEZAJI wa Timu ya Stone Town Suleiman akiwa na mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Polisi Abubakar, katika mchezo wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu ya Stone Town imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 70-53

MCHEZAJI wa Timu ya Polisi Abubakar akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Stone Town Suleiman, wakati wa mchezo wao wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar Timu ya Stone Town imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 70-53.
 

Post a Comment

0 Comments