6/recent/ticker-posts

Timu ya Miembeni Yaibuka Kideda kwa Ushindi wa Vikapu 70-29 Dhidi ya Timu ya Uhamiaji Mchezo wa Ligi Kanda ya Unguja Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong

Mchezaji wa Timu ya Miembeni Seif Mohammed akiifungua timu yake katika mchezo wa Ligi Kanda ya Unguja mchezo wa Kikapu uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa kuifunga Timu yac Uhamiaji kwa Vikapu 70-29.










Post a Comment

0 Comments