Mchezaji wa Timu ya Dream akiwa mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Miembeni, wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 53-51.
NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
-
📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro
Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa
kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kuje...
4 hours ago







0 Comments