Mchezaji wa Timu ya Dream akiwa mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Miembeni, wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Miembeni imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 53-51.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA
HATIFUNGANI
-
Na Oscar Assenga,TANGA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira wametembelea maendeleo ya
utekelezaji wa mradi wa Maji wa Hatifungani ya Kijani...
5 minutes ago







0 Comments