Mchezaji wa Timu ya New King akimpita mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025-2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Muembemakumbi City imeshinda bao 3-1.
NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
-
📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro
Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa
kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kuje...
4 hours ago





0 Comments