Mchezaji wa Timu ya Uhamiaji akimpeta mchezaji wa Timu ya Polisi, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026, mchezo uliyofanyika katika Uwanja Mao Zedong.Timu ya Uhamiaji imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
BIASHARA YA KABONI YAFUNGUA NEEMA MPYA LINDI
-
Na Mwandishi Wetu, Lindi
Fursa ya biashara ya kaboni imeelezwa kuwa mkombozi mpya wa uchumi wa
misitu nchini, huku Serikali ikihimiza wananchi na wadau k...
47 minutes ago






0 Comments