Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Naibu Kamishna wa Uhamiaji,Tatu Burhani kabla ya uzinduzi wa Jengo la Afisi ya Uhamiaji na Makazi ya Askari,wilaya ya Micheweni,mkoa wa Kaskazini Pemba ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Watatu kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene na wakwanza kulia ni Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar,Hassan Ali Hassan.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA
-
Na Mwandishi wetu.
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi
vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR
y...
1 hour ago
0 Comments