6/recent/ticker-posts

Uzinduzi Tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja Shamrashamra za Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar

 

Muonekano wa Jengo Jipya la Tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja lililofunguliwa na Waziri wa Vijana,Ajira na Uwezeshaji Zanzibar Mhe.Shaban Ali Othman, kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. ufunguzi huo uliyoyofanyika 5-1-2026.


NO.6140///WAZIRI wa Vijana,Ajira na Uwezeshaji Zanzibar Mhe. Shaban Ali Othman akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la ufunguzi wa Jengo la Tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Kiwengwa Mkoa wa Kaskazini Unguja, (kushoto) Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar  Dkt.Rahma Salim Mahfoudh na Viongozi mbalimbali ,ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi wa Zanzibar na .(Picha na Othman Maulid)








































Post a Comment

0 Comments