WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum akizindua Mfumo wa Usajili wa Diaspora Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwake) Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Ndg. Saleh Juma Mussa na (kushoto kwake) Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibar Wanaoishi Nje ya Nchi. Dkt.Haji Gora Haji.(Picha na Othman Maulid)
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
2 hours ago



0 Comments