WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum akizindua Mfumo wa Usajili wa Diaspora Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Jijini Zanzibar na (kulia kwake) Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Ndg. Saleh Juma Mussa na (kushoto kwake) Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Uratibu wa Wazanzibar Wanaoishi Nje ya Nchi. Dkt.Haji Gora Haji.(Picha na Othman Maulid)
Je Simba Msimu Huu Ataondoka Kapa Tena?
-
LEO hii Meridianbet tunaangazia klabu ya Simba ambayo imekuwa na mabadiliko
yanayotokea hap na pale huku nafasi ya wao kushinda taji la NBC Premier
Leagu...
19 hours ago



0 Comments