6/recent/ticker-posts

Mafanikio ya Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Ndani ya Siku Mia Moja ya Uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi

Kaimu Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar ambae ni Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, mafanikio ya Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanja Zanzibar ndani ya Siku Mia Moja za Uongozi wa Dk.Mwinyi Kipindi cha Pili cha Uongozi wake Awamu ya Nane, mkutano huo uliyofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Rahaleo Zanzibar leo 3-3-2026.







 

Post a Comment

0 Comments