Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa Kombe Maalum la Ushindi wa Timu Bora ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) pamoja vyeti vya pongezi ambavyo imepata katika mashindano maalum ya ligi ya Muungano iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni.
Airtel Tanzania yazindua Maduka 17 ya Smart Shops Dar es Salaam, kukuza
Huduma za Kidijitali
-
Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini,
imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam.
Maduka haya ni ...
49 minutes ago




0 Comments