6/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS AKIKABIDHIWA KOMBE MAALUM LA USHINDI WA TIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akikabidhiwa Kombe Maalum la Ushindi wa Timu Bora ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) pamoja vyeti vya pongezi ambavyo imepata katika mashindano maalum ya ligi ya Muungano iliyofanyika Zanzibar hivi karibuni.





Post a Comment

0 Comments