WADAU wa habari tunategemea baada ya muda mfupi tutapata matokeo ya Majimbo mawili ya Unguja.
Majimbo ambayo yatatolewa matokeo yake ni ya Donge na Uzini. na kufika majimbo yaliyokuwa tayari kupatikana matokeo yake kufikia kumi na saba (17) katika matokeo ya Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar
MAJALIWA AWASILI SHELISHELI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS
MTEULE DKT. PATRICK
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2025 amewasili Seychelles kwa
ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais
mteule ...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment