WADAU wa habari tunategemea baada ya muda mfupi tutapata matokeo ya Majimbo mawili ya Unguja.
Majimbo ambayo yatatolewa matokeo yake ni ya Donge na Uzini. na kufika majimbo yaliyokuwa tayari kupatikana matokeo yake kufikia kumi na saba (17) katika matokeo ya Uchaguzi wa Rais wa Zanzibar
RAIS MSTAAFU DKT KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI MAALUM WA PEMBE YA AFRIKA
NÀ BAHARI NYEKUNDU
-
RAIS Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum
wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, jukumu
li...
1 hour ago
0 Comments