WANANCHI wakishuhudia sherehe za kuapishwa Rais wa Zanzibar Uwanja wa Amaan
WANACHAMA wa Chama cha CUF wakiwa katika moja ya Jukwaa UWANJA WA Amaan wakishuhudua akiapishwa Rais wa awamu ya Saba Dk. Ali MOHAMMED Shein
WANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi wakishuhudia kuapishwa Rais wa Zanzibar Uwanja wa Amaan.
VIONGOZI wa Dini wakielekea katika jukwaa la kumuapisha Rais wa Zanzibar.MABALOZI wakishuhudia sherehe za kuapishwa RAIS WA awamu ya saba Zanzibar
VIONGOZI wa Chama na Serikali wakiwa jukwaa kuu kutoka kushoto Ali Juma Shamhuna, Mama Siti Mwinyi, Dk. Salimin Amour Juma, Benjamin Mkapa, Mama Shadya Karume na Mama Salma Kikwete.
VIONGOZI wa Serikali kutoka kulia Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Rais Mstaafu wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi, Aliyekuwa Waziri Kiongozi Shamsi Vuai Nahodha na Mke wa aliyekuwa Naibu Waziri Kiongozi
No comments:
Post a Comment