6/recent/ticker-posts

BEI YA FUTARI JUU SOKONI ZANZIBAR.

WANANCHI wakipata  mahitaji ya  futari katika soko la Marikiti Darajani ndizi moja ya mkono wa tembo Sokoni hapo inauzwa shillingi 4000/=. 


WAKINAMAMA Wafanyabiashara katika soko la Mwanakwerekwe wakipanga viazi Sokoni hapo fungu moja shillingi 2000/=

Post a Comment

0 Comments