MKULIMA wa Zao la karafuu katika Kijiji cha Pandani akianika karafuu zake ili kupata daraja la kwanza kutoka na bei yake kuwa juu.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI RUANGWA-NACHINGWEA
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 21, 2025 ameweka jiwe la
msingi la ujenzi wa mradi wa maji Lindi-Ruangwa- Nachingwea, katika kijiji
cha Chi...
1 hour ago
1 Comments
Hongera babu!"kijua ndio hichi,usipo uanika utaula mbichi"Kwa kweli wapemba wenye karafuu tukishindwa kumaliza 'vibanda' vyetu mwaka huu! na tukaendekeza kuongeza wake basi,basi tusijetukalaumu mtu ila nafsi zetu!
ReplyDelete