MKULIMA wa Zao la karafuu katika Kijiji cha Pandani akianika karafuu zake ili kupata daraja la kwanza kutoka na bei yake kuwa juu.
MATUKIO KATIKA PICHA NYUMBANI KWA MAREHEMU
-
Baadhi ya Viongozi kutoka taasisi mbalimbali pamoja na waliowahi kushinda
taji la Miss Tanzania kwa nyakati tofauti na waombolezaji wakiwa wamewasili ...
5 hours ago
Hongera babu!"kijua ndio hichi,usipo uanika utaula mbichi"Kwa kweli wapemba wenye karafuu tukishindwa kumaliza 'vibanda' vyetu mwaka huu! na tukaendekeza kuongeza wake basi,basi tusijetukalaumu mtu ila nafsi zetu!
ReplyDelete