MKULIMA wa Zao la karafuu katika Kijiji cha Pandani akianika karafuu zake ili kupata daraja la kwanza kutoka na bei yake kuwa juu.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
52 minutes ago
Hongera babu!"kijua ndio hichi,usipo uanika utaula mbichi"Kwa kweli wapemba wenye karafuu tukishindwa kumaliza 'vibanda' vyetu mwaka huu! na tukaendekeza kuongeza wake basi,basi tusijetukalaumu mtu ila nafsi zetu!
ReplyDelete