Mafundi wa Idara ya Ujenzi na Utuzaji wa Barabara Zanzibar wakiweka matuta katika moja ya barabara ya Mwera Dunga ili kupunguza ajili kwa Wanafunzu wa Skuli ya Dunga wanapokatisha barabara wakati wa kutoka skuli na kuweza madereva kupunguza mwendo wakifika katika eneo hilo ambalo husababisha ajali kwa wanafunzi wanapokatisha barabara.
WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE
-
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba,
ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia
hati ya kusa...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment