Mafundi wa Idara ya Ujenzi na Utuzaji wa Barabara Zanzibar wakiweka matuta katika moja ya barabara ya Mwera Dunga ili kupunguza ajili kwa Wanafunzu wa Skuli ya Dunga wanapokatisha barabara wakati wa kutoka skuli na kuweza madereva kupunguza mwendo wakifika katika eneo hilo ambalo husababisha ajali kwa wanafunzi wanapokatisha barabara.
TRA YATOA ELIMU MFUMO MPYA WA IDRAS
-
Farida Mangube, Morogoro
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo
Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Nda...
22 minutes ago
0 Comments