Mafundi wa Idara ya Ujenzi na Utuzaji wa Barabara Zanzibar wakiweka matuta katika moja ya barabara ya Mwera Dunga ili kupunguza ajili kwa Wanafunzu wa Skuli ya Dunga wanapokatisha barabara wakati wa kutoka skuli na kuweza madereva kupunguza mwendo wakifika katika eneo hilo ambalo husababisha ajali kwa wanafunzi wanapokatisha barabara.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment