Habari za Punde

Meli ya Azam Sea Link 1 ikiwa katika bandari ya Zanzibar.



 Meli ya Kampuni ya Azam Marine ambayo hutowa huduma ya Usafiri kwa Wananchi wa Visiwa vya Unguja ,Pemba na Dar-es-Salaam, ikiwa katika bandari ya Zanzibar ikishusha mizigo ikitokea Dar-es-Salaam. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.