Taarifa kwa umma
Mvua kubwa, Upepo Mkali na
Mawimbi makubwa kwa maeneo ya Pwani Taarifa Na.
|
20130101-01
|
Muda wa Kutolewa
Saa za Afrika Mashariki
|
Saa 7:30 Mchana
|
Daraja la Taarifa:
1:Taarifa 2:Ushauri
3:Tahadhari
4:Tahadhari Kubwa:
|
Ushauri
|
Kuanzia:
Tarehe
|
02 Januari, 2013
|
Mpaka:
Tarehe
|
03 Januari, 2013
|
Aina ya Tukio
Linalotarjiwa
|
Mvua kubwa (zaidi ya milimita
50 katika kipindi cha saa 24 kila siku ), upepo mkali unaozidi km 40 kwa saa
na mawimbi makubwa zaidi ya mita 2 (maeneo ya Pwani)
|
Kiwango cha uhakika:
|
Wastani
|
Maeneo yatakayoadhirika
|
Baadhi ya maeneo ya mikoa ya
Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Morogoro, Lindi na Mtwara
|
Maelezo:
|
Kuwepo kwa kimbunga “DUMILE”
kaskazini-mashariki mwa Madagascar ambacho kinavuta upepo wenye unyevunyevu
kutoka Congo kupitia maeneo ya kusini mwa Tanzania
|
Angalizo:
|
Wakazi wa maeneo hatarishi,
watumiaji wa Bahari na nchi kavu wanashauriwa kuchukua tahadhari. Aidha
taasisi zinazohusika na Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki.
|
Maelezo ya Ziada
|
Mamlaka inaendelea kufuatilia
mwenendo wa kimbunga hicho na kutoa mrejeo (updates) kila itakapobidi.
|
No comments:
Post a Comment